Wednesday, 26 October 2011

Ahsante Mungu kwa mvua! lakini dduu!!


Tunamshukuru ungu kwa mvua maana mazao yanastawi hivyo kutuondolea wasiwasi wa ukame na janga zima la njaa! lakini kama ilivyo ada ya miundombinu yetu wakati mwingine inafanya watu wachukie mvua au jua yani ni mvurugano! mvua zikinyesha hali ndo hii!! hapo ni maeneo ya Mula Siha, tukitokea Kyeeri!!! tulikwama almost kwa  nusu saa!! tunashukuru wasamalia waliojitokeza kutusaidia!!!

na jual likiwaka hilo vumbi sasa!! JUA NA MVUA BORA NINI ............................!!!!

Wednesday, 19 October 2011

monthly trainings!!


training inaendelea!! hapa ni majadiliano sasa ur views are highly respected!! this was monthly training on crop inspection held at Lyamungo.

 mshauri Alunas nikiendeleza darasa! kama kawaida! hapa unatoa point tunaweka ubaoni then tunaijadili pamoja!
love my job so so!!  shukran kwa wote tunaoshirikiana kuhakikisha kazi inaenda especially FT's pamoja na wakulima bila kuwasahau fellow washauri Hadija and Peter!!

kutoka maktaba!!

ilikua jumamosi tarehe 21 ya mwezi wa nane ,2010, hapo ni korogwe Highway! tukitokea dar kwenda Moshi kuripoti kazini kwa mara ya kwanza! TNS juuuuuuuuu!! thank God!!

watoto watoto!! wht a gift!!!

 mwite Caren but commonly known as Mamy! i love her so much much much!! cant xplain it kwa kwel!!
 hey ! how do i Look pple!! so cutie au sio!! so switie! ana vituko vya chini kwa chini!!
macho sasa!! hebu nitoe miwan so that u can see the real beaty in me!! so lovely indeed!!

Sunday, 16 October 2011

thank God it rains!!!!!!!

hatimae mvua zimenza na baadhi ya maeneo kahawa imeanza kutoa maua kama inavyoonekana , hapa ni Nombeko,Meru. ni jambo la kushukuru maana hata zile kahawa ambazo zilikua haziivi kutokana na ukame sasa zimenza kuiva!!!

Tuesday, 4 October 2011

last training at Moshi field office...........TNS!!

kama kawaida ya training mpasho aka ice breaker muhimu ili ktuweka fiti tayari kwa somo!!
hapa mshauri aliktoa mpasho wa kukata na shoka!! mjanja anatakiwa kuwahi nafasi kwenye hili kartasi kila linapokunjwa!!
baada ya mpasho darasalinaanza tena kwa upande wa shambani sasa, 2nakumbushana kidogo kabla ya kuingia shambania!!!!

greetings wapendwa!!!

it has been so long wapendwa! ila ni majukumu tu ya hapa na pale!!ila bado 2ko pamoja!!
 mis u ol!!