Wednesday, 30 March 2011

IMPROVED VARIETIES OF COFFEE

 wakufunzi wa wakulima pamoja na washauri kutoka TNS- moshi tukifuatilia kwa makini maelekezo juu ya utunzaji nauvunaji wa miche mama kutoka kwaafisa ughani wa kanda ya kaskazini, Mr. Mabagala. kwa wastani mche mama mmoja una uwezo wa kutoa machipukizi 50-150 ukipata matunzo mazuri!!!!
.
 hapa machipukizi yaliyovunwa nakuchongwa vizuri yakipandwa kwenye maboksi maalumu,boksi linatakiwa kua na urefu wa 45cm ambapo 15 huwekwa kokoto, 15 huwekwa udongo wa msituni uliochanganywa na mchanga ili kurahisisha mizizi kupenya na maji kutotuama ambapo inawza kuozesha machipukizi. kwa wastani machipukizi huweza kukaakwa muda wa miezi 2.5 hadi 3 hadi kutoa miziz kutegemeana na hali ya hewa!! Ikishatoa miziz huhamishiwa kwenye viriba ambapo inaweza kukaa kwa muda wa wiki mbili hadi mwezi mmoja kabla ya kuhamishia shambani.muda wote wa kuotesha machipukizi huwa kwenye mazingira maalumu ambapo mwanga wa jua hudhibitiwa  ambapo 30% ya mwanga huruhusiwa kuingia( under shade nets)
 sifa kubwa ya kutumia machipukizi haya ya mbegu mpya ya kahawa tokaTaCRI ni kwamba inazaa sana kama inavyoonekana ktk picha - mshauri akikagua matunda ya kahawa katika mojawapo ya mashamba yaliyopo TaCRI- Lyamungo -Moshi
 inavutia kuzitazama na kuzihgusa pia!! msahauri akikagua matunda ya kahawa -Lyamungo
 wakufunzi wakishangaa jinsi kahawa zilivyozaa vizuri!! kila mtu anatamani na akaweka nia ya kuanzisha vikundi vya kuzalisha miche mama ya kahawa kwaajili ya kuzalisha miche mipya mingi kadiri iwezekanavyo katkia maeneo yetu!!
" si unaone eeh! cheki ilivyozaa halafu ina afya ajabu! inapendeza eeh!"
AHSANTE TaCRI kwa mafunzo mazuri kazi kwetu kufuata kile tulichojifunza!! matunda ndo kama unavyoyaona haihitaji maneno mengi kukushawishi!!!!! MGODI WETU NDO HUU
KILIMO KWANZA...

imagine......flying without wings!!!! possible!?..

Goats on trees are found mostly only in Morocco. The goats climb them because they like to eat the fruit of the argan tree, which is similar to an olive. Farmers actually follow the herds of goats as they move from tree to tree. Not because it is so strange to see goats in trees and the farmers like to point and stare, but because the fruit of the tree has a nut inside, which the goats can't digest, so they spit it up or excrete it which the farmers collect. The nut contains 1-3 kernels, which can be ground to make argan oil used in cooking and cosmetics. This oil has been collected by the people of the region for hundreds of years, but like many wild and useful things these days, the argan tree is slowly disappearing due to over-harvesting for the tree's wood and overgrazing by goats- MUACHENI MUNGU AITWE MUNGU.

16 Goats In A Tree

Monday, 28 March 2011

love this woman...........

i love this woman the way she sang with fillings-simple but sure, here is one of her song i llove the most
 
"It's All Coming Back To Me Now"

There were nights when the wind was so cold
That my body froze in bed
If I just listened to it
Right outside the window

There were days when the sun was so cruel
That all the tears turned to dust
And I just knew my eyes were
Drying up forever

I finished crying in the instant that you left
And I can't remember where or when or how
And I banished every memory you and I had ever made

But when you touch me like this
And you hold me like that
I just have to admit
That it's all coming back to me
When I touch you like this
And I hold you like that
It's so hard to believe but
It's all coming back to me
(It's all coming back, it's all coming back to me now)

There were moments of gold
And there were flashes of light
There were things I'd never do again
But then they'd always seemed right
There were nights of endless pleasure
It was more than any laws allow
Baby Baby

If I kiss you like this
And if you whisper like that
It was lost long ago
But it's all coming back to me
If you want me like this
And if you need me like that
It was dead long ago
But it's all coming back to me
It's so hard to resist
And it's all coming back to me
I can barely recall
But it's all coming back to me now
But it's all coming back

There were those empty threats and hollow lies
And whenever you tried to hurt me
I just hurt you even worse
And so much deeper

There were hours that just went on for days
When alone at last we'd count up all the chances
That were lost to us forever

But you were history with the slamming of the door
And I made myself so strong again somehow
And I never wasted any of my time on you since then

But if I touch you like this
And if you kiss me like that
It was so long ago
But it's all coming back to me
If you touch me like this
And if I kiss you like that
It was gone with the wind
But it's all coming back to me
(It's all coming back, it's all coming back to me now)

There were moments of gold
And there were flashes of light
There were things we'd never do again
But then they'd always seemed right
There were nights of endless pleasure
It was more than all your laws allow
Baby, Baby, Baby

When you touch me like this
And when you hold me like that
It was gone with the wind
But it's all coming back to me
When you see me like this
And when I see you like that
Then we see what we want to see
All coming back to me
The flesh and the fantasies
All coming back to me
I can barely recall
But it's all coming back to me now

If you forgive me all this
If I forgive you all that
We forgive and forget
And it's all coming back to me
When you see me like this
And when I see you like that
We see just what we want to see
All coming back to me
The flesh and the fantasies
All coming back to me
I can barely recall but it's all coming back to me now

(It's all coming back to me now)
And when you kiss me like this
(It's all coming back to me now)
And when I touch you like that
(It's all coming back to me now)
If you do it like this
(It's all coming back to me now)
And if we, , ,

Wednesday, 23 March 2011

jambo rafiki!

 nawasalimu marafiki!! na kuwatakia maandalizi mema ya wkend! KARIBU TANZANIA!

OOH! GOD HELP!!!!!!

 5 Stars modern taarab musician accident at Mikumi -Morogoro! its a bit hard to believe that this was a nyc gud looking vehicle!! ila ndo ivo kazi ya Mungu haina Makosa! MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU MALI PEMA PEPONI AMINA!!!

 watu wakishangaa mabaki a gari lililopata ajali kwa kulvaa roli la mbao kwa nyuma!! inasikitisha, inahuzunisha pia!
wht a bad accident!

Monday, 21 March 2011

bestito!!!

jaman lov this lady!!!! simply call her lulu yaan as gud as lulu itself!!! cutie,cool but with hidden naught!! hard to know kama hujakaa nae karibu!! gud tym Lulu ! me love u!!

Tuesday, 15 March 2011

mwanamke figa!!!!!!!!!!

sasa mchina atatumaliza! hi si balaaaaaaaaaaaaaaa! ni zaid ya....

Monday, 14 March 2011

gud morning wajamen!!!!!!!

wht a nyc gift to my friends!! u know wht 2 me flowers removes all bad moods I might be having!! yan they make me feel so guuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuud!!!!!!

Friday, 11 March 2011

training on.....

hapa mshauri nitkitoa somo, lets come together for KIlimo kwanzaaaaaaaaa!!!!! si mnajua tena kilimo ndo uti wa mgongo wa uchumi wetu!