Monday, 28 February 2011

ukiwa bibi shamba then.......................



shart usiogope kuingia shamban kilaniitwapo leo!!!! hapo nikiwa field maeneo ya Meru-Nombeko!!!!!!
kahawa kwa maendeleo! mpango mzima wa kilimo kwanza!!!!!

Friday, 25 February 2011

baseline survey is overrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!

 hapa nikimdodosa babu dring survey! hapa ni Nasai-koboko wilayani Siha!
jaman jaman! asikwambie mtu zoez la kuuliza the same question more than 20 times ni gumu sana! afu maswali yenyewe zaid ya 200!!!! ni noma! bt ndo sayansi inavotaka no guessing sharti utafit ufanyike! than God zoez lilisha salama salmin kaika kata zote tatu-mwika north ,kinyamvuo and koboko!

MUSA village, monduliiiiiiiii! kwa Lowassa

nilibahatika kutembelea wakulima wa kahaw kjijcha Musa! kipo wilayan monduli -Arusha jaman ni mbali,unapshana na wanyama kama tembo njian! yan its had to imagiine kwamba utakuta wa2 huko!! kuna baridi mbaya!!!!! bt the gud thing ni kwamba wakulima wa huko wanajituma sana especially women!!!!! great!~ tunaweza bana!!!!!

Thursday, 24 February 2011

Wednesday, 23 February 2011

God bless this season!!!!!

its our prayer hali ya hewa iwe nzuri,mvua wastani.... ili mavuno ya kahawa yawe poa ! mana hali ni tete!!

hap b'day 2 me!!!

shukuran za pekee pia kwa my fellow staff! kwa suprize on my b'day!! jamani luv u ol!
it was on 2 feb!!! this da gift i gave 2 ma self! jamani napenda maua!!!!!

wht a lucky and talented lady!!! jus lyk her name!!!

jaman jaman kuna wa2 na vipaj vyao! yan gifted vbaya mno! huyu bint nmemaliza nae chuo lakin mpaka 2namaliza we wee nt friends na wala 2likua hatufahamiani kiiivo.. yan kishkaj tu coz we were pursuing d'fernt  degree program! bt we com 2b closer baada y akuajiriwa ofc 1 bt d'rent dptmt! so kwa masuala ya foto me! pls kaa chonjo! yan ni mnoma!! and she has a dream of owning a photo point !!!!! na ukija kwenye masuala ya designing pia yuko poa sana!! so kaa mkao wa kula mpenz wa viwalo vya kisasa!!its my prayer ur dream 2 com true my bestito!!!!! kila la kheri!!! jiran na house mate pia! luv u baby!!

alunas: shukuran za pekee pia kwa my fellow staff! kwa sup...

alunas: shukuran za pekee pia kwa my fellow staff! kwa sup...: "shukuran za pekee pia kwa my fellow staff! kwa suprize on my b'day!! jamani luv u!"

hodi hodi wajamen!!!

jamani nawasalimu!!!!!!!!!